JULAI 7: SIKU YA KISWAHILI DUNIANI

Written by

in

  1. (Picha kwa hisani ya Mwanaspoti)

Na Abdul Shaban

 

Siku hii inalenga kukuza matumizi ya Lugha hiyo kama nguzo ya Umoja, Ustawi na Amani

Kiswahili ni miongoni mwa Lugha zinazotumiwa zaidi Afrika, na kwa Mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) ni kati ya Lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi duniani, ikiwa na wazungumzaji zaidi ya Milioni 200

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *