Tag: strike

  • KENYATTA UNIVERSITY STUDENTS UNREST

    By Debbie Gitau

    debbiemumbi@gmail.com

    Images sourced from Twitter

    Kenyatta University-Main Campus students hold protests today over welfare issues and seek the removal of their Vice Chancellor Paul Wainaina.

     

    The Kenyatta University Students Association issued a memo and stated some of their grievances to be:

    1. The extension of the deadline of the fee payment is minimal.
    2. The administration forcefully directing students in Nyayo to use the flyover.
    3. The suspension of the both students and student leaders on petty basis.
    4. Supplementary fee which is free in other universities, K.U charges 2,500 shillings that applies to Nursing, Law, Medicine and Pharmacy students.
    5. Hiking of graduation fee from 3,500 to 6,000 without KUSA being informed.
    6. Replacement of student I.D cards despite payments being done.

     

    The students closed the Thika road super highway in protest. Heavy law enforcement was employed to secure the safety of the school resources and to open up the closed Thika Road super highway.

     

    “They should listen to our concerns about the extension deadline and supplementary fees,” says Anne Kaloki, a Nursing student in Kenyatta University.IMG_20191007_190317

    Screenshot_2019-10-07-18-53-46
    Kenyatta University students gathered outside the University gates
    K.U unrest 5
    Kenyatta University Students running from Security Forces
  • KUNA NINI KATIKA BARABARA YA MAGADI?

    C21B84F3-9D5B-4371-BC87-FD7C59550353wangukanuri181152@daystar.ac.ke

    Na: Wangu Kanuri

    Ilikuwa vuta nikuvute katika barabara ya Magadi baina wanafunzi wa chuo kikuu cha Multimedia na polisi. Wanafunzi wa chuo kikuu hicho waliandamana na kufunga barabara hiyo kufuatia ajali iliyomlaza mmoja wao katika hospitali kuu ya Kenyatta huku akiwa katika hali mahututi. Kamanda wa Langata bwana Gregory Mutiso aliwarai wasafiri kutumia njia mbadala wanapowatuliza wanafunzi hao waliokuwa wamekabwa koo. Ajali katika barabara hiyo zinazotamatisha maisha ya wanafunzi katika chuo kikuu hicho si jambo geni ndio maana maandamano hayo yaliyoonyesha kughadhabishwa kwa wanafunzi na madereva.

    Kwa kutaka kuchukulia haki mikononi mwao kwa mwanafunzi huyo aliye katika mwaka wake wa kwanza na ambaye wiki jana aligongwa na yu katika hali mahututi, wanafunzi hao waliokerwa walistahimili vitoa machozi ambavyo maaskari waliwarushia nao wakiwarushia mawe. Mwanafunzi huyo aligongwa na matatu iliyokuwa ikiendeshwa kwa kasi mno hapo karibu na lango la chuo hicho kikuu. Isitoshe wanafunzi hao walilalamikia polisi kwa kuchelewa kushughulika baada ya mwanafunzi huyo kugongwa.

    Uchungu uliokuwa nyoyoni mwa wanafunzi hao ulidhibitisha kuwa walikuwa wamekerwa na ajali zinazofanyika katika barabara hiyo zinazotamatisha nyoyo za wenzao huku wakikumbuka kuwa mwaka wa 2016 walipoteza wanafunzi  wawili katika barabara iyo hiyo. Zaidi ya hayo, walilalamikia kuongezewa kwa nauli kwa matatu ya tume ya Ongataline na kunyanyaswa na waendeshaji wa magari hayo.

    Japo gari hiyo iliyomgonga mwanafunzi hiyo I katika kituo cha polisi, usakaji wa dereva huyo aliyemgonga mwanafunzi huyo bado waendelea. Hali kadhalika wanafunzi watatu walikamatwa katika maandamano hayo.