Tag: rugby

  • Falcons to Host Mombasa Rugby for KRU Championship Opener

    [PHOTO COURTESY ]

    Daystar Falcons rugby team is poised to host Mombasa rugby team in their opening fixture of the 2023/24 Kenya Rugby Union Champioships on Saturday, December 2.

    The match day one fixtures were published by the Kenya Rugby Union across their social media platforms as Falcons’ gear up for a 3 PM kick-off against the Coastal side.

    The Daystarians will be looking to build on their King’s of Africa University 7s triumph in October as they intend to end the year on a high.

    Falcons will draw confidence from having a near full-strength squad with U-20 National side player Eddy Wambugu who has so far had a great year with the rugby team and the Chipu in contention.

    Shujaa 7s prodigy and Falcons ace Patrick Odongo will however be a big miss as the winger has commitments with the national side.

    The 2019 DIV 2 7s Circuit Champions will be eager to add to their accolades but that will be put to the test by the Coastal side.

    Other fixtures will see Masinde Muliro University take on JKUAT Cougars while S.C Pirates play host to Western Bulls at the Sea Crest Gardens.

    The Impala Club will be a beehive of activities as Impala take on USIU Martials while Kabarak University welcomes U.O.E Trojans

  • SHUJAA WETU

    Na: Wangu Kanuri

    kanuriwangu@gmail.com

    TOA maelezo yako kuhusu mchezo wa raga

    Raga ni mchezo ambao unahitaji nguvu haswa kwenye misuli. Mchezo huu umegawanywa katika makundi mawili makuu; ya wachezaji saba na ya wachezaji kumi na tano. Kundi hili la wachezaji saba hujulikana vyema kama rugby 7s ilhali hilo la wachezaji kumi na tano hujulikana kama rugby 15s. Vikundi hivi ndivyo vimepewa kipaumbele nchini ila kuna vingine.

    TUELEZE kwa ufupi kukuhusu

    Slyvester Miheso, ni mwanafunzi wa shahada ya Udhibitishaji wa Rasilimali za Nchi katika chuo kikuu cha Daystar. Anapenda kusikiza muziki, kufanya mazoezi na kutizama filamu. Isitoshe, mimi ni mchezaji wa kawaida katika timu ya Falcons ambayo ni timu ya raga katika chuo kikuu cha Daystar.

    NINI kilikuchochea kuupenda mchezo huu wa raga?

    Nilipojiunga na shule ya upili ya Mtakatifu Inyasi ndipo ari yangu ya kupenda mchezo wa raga ilianza. Nilijiunga na timu ya raga nikiwa kidato cha kwanza japo shingo upande kwa kuogopa kuumizwa. Baada ya kujiunga na mchezo huo nilijua sheria na masharti zinazomkinga mtu wakati wa kumenyana na hofu yangu ikapungua.

    NI mchezaji yupi katika raga hukuvutia? Kwa nini?

    Mchezaji ninayemuenzi anachezea timu ya na Mwamba anafahamika kama Collins Injera. Mchezaji huyu ana bidii na anapenda kuwapa mwelekeo wachezaji chipukizi ili waweze kubobea kama yeye. Isitoshe, Collins amejivunia taji nyingi katika ligi za Uingereza kwa kufunga mabao mengi.

    MCHEZO HUU umekuvunia tija ipi?

    Mchezo huu umeniwezesha kufadhiliwa kimasomo katika ya shule ya upili na ya chuo kikuu. Hali kadhalika, nimejivunia taji la mchezaji bora na pia mchezaji aliyefunga mabao mengi upande wa Division 2. Nimeweza kuzuru nchi ya Uganda na Rwanda na miji ya Kisumu, Kakamega, Nairobi, Meru, Nanyuki na Nakuru.

    UNAWASHAURI vipi wachezaji chipukizi?

    Wasififishe talanta zao kwani ni zawadi kutoka Maulana. Pili, wafanye bidii wakati wa mazoezi huku wakiamini wao ni wachezaji bora kwani jambo huanzia kwa kukata shauri akilini. Tatu, wasikate tamaa hata wakishindwa kwani kufeli si kujaribu bali kutojaribu.

    FB_IMG_1569857000774