Author: Invo

  • MWANARIADHA ELIUD KIPCHOGE AMEWEKA REKODI DUNIANI

    Na Wangu Kanuri
    kanuriwangu@gmail.com

    Picha kwa hisani ya: Reuters

    Oktoba 12 mwaka wa 2019 ni siku ambayo daima itakuwa kumbukumbu kwani mwanariadha Eliud Kipchoge amevunja rekodi aliyokuwa amejiwekea ya kukimbia kwa kilomita arubaini na mbili kwa muda wa saa moja na dakika hamsini na tisa.

    Isitoshe jina lake limeandikwa katika kitabu cha rekodi cha dunia cha Guiness. Eliud aliyekuwa amejibidisha na kuamini kuwa ataweka historia duniani, aliwafanya wakenya wengi kujumuika kumtizama akivunja rekodi hii iliyofahamika kama INEOS 159.

    Rais Kenyatta aliwaongoza wakenya katika kumhimiza Kipchoge kulenga lengo lake huku naibu wake mheshimiwa Ruto na bibiye wakisafiri Vienna kumpa mkono anapokimbia.

    Kusudio kuu lake Kipchoge lilikuwa kuonyesha kuwa hakuna pingamizi lolote iwapo mtu anataka kuwa wa kwanza katika lolote. Isitoshe, alisisitiza kuwa hashindani na wengine bali anashindana na muda na kuweka historia katika dunia.

    Shindano hili liliokuwa likitizamwa moja kwa moja katika mitandao, limewafunza watu kuwa; shindano letu si dhidi ya marafiki, maadui ama wenzetu bali dhidi ya muda. Pili, mbio yetu yapaswa kuwa dhidi ya lengo tulizojiwekea na mwishowe mbio yetu ni katika tunayonuia kulenga.

    Eliud Kipchoge vilevile amesema kuwa alikuwa mwenye tumbo joto baada ya kupokea simu kadha wa kadha kutoka viongozi wakuu katika serikali ya Kenya ikiwemo rais Kenyatta. Hata hivyo, bado alishikilia msimamo wake dhidi ya kuweka rekodi ya wanariadha duniani.

    Akizungumza baada ya shindano hilo, Kipchoge amesema kuwa imemchukua mwanadamu miaka sitini na tano kuweka historia katika mbio za dunia kwa hivyo yeye amejazwa na furaha ghaya kuweza kuifufua historia hii. Mwenyekiti wa INEOS bwana Jim Ratcliffe alisema kuwa hakuamini vile Kipchoge alikimbia mtawalia mbio ya kwanza kwa muda wa chini ya saa moja.

    Picha kwa hisani ya: New York Post
  • DAYSTAR HEALTH AWARNESS WEEK

    The Daystar Compassion and Care Centre (DCCC) Health Awareness week which took place this October as from 7th to the 10th saw many students and staff show up to get tested for free.

    The Health Awareness week is a norm that takes place every once a semester for a week at Athi River and Nairobi campus. They take place around the same time in both campuses.

    For the Athi River campus, DCCC outsourced health practitioners from The Nairobi Women’s Hospital, Kitengela branch. Students showed up in numbers to get tested and know their health status.

    There were different stalls for different health departments including; optical, dental, general physician, height and weight, BMI, pressure and sugar/ diabetes. HIV/AIDS testing and counseling was also available for students.

    A law in Kenya was passed to make testing and counselling for HIV a private matter and a personal decision. Therefore the stall for HIV testing had to be secluded in a private space where nobody could eavesdrop or see the counselor or the patient. It took place in the DCCC offices.

    Students turned up in large numbers to test for HIV after the seclusion on the testing center. This is due to the fact that the testing center was secluded and therefore the privacy encouraged students to get tested.

    This was a strategic move by DCCC since over the years the HIV testing has always been done in the open and most of the time students did not show up due to fear and embarrassment.

    A student heading for check up at the tents


    Click here to find photos from the health awareness week and DC3 chapel

  • PHOTO STORY: DC3 HEALTH WEEK AND CHAPEL

    From 7th to 11th October Daystar Compassion and Care Centre, hosted health week in Athi River Campus.

    Find photos from the health week and the DC3 chapel below.

    Photos courtesy of: Joseph Gichari

    Josephndungo55@gmail.com

    Click here to read about the Health Awareness week

  • ETHIOPIAN PRIME MINISTER WINS THE NOBEL PEACE PRIZE FOR HIS BORDER PEACE DEAL WITH ERITREA

    By: Valyne Laibuta

    vklaibuta@gmail.com

    Thumbnail image courtesy of: The Telegraph

    Prime Minister of Ethiopia Abiy Ahmed. Photo courtesy of: KTVQ.com

    Ethiopian Prime Minister, Abiy Ahmed won the Nobel Peace Prize on Friday for mending relations with Eritrea, Ethiopia’s long-standing rival.

    Abiy was deserving of this award “in particular, for his decisive initiative to resolve the border conflict neighboring Eritrea” said Brett Reiss-Anderson, Chair of the Nobel committee, who decides which individual is deserving of the phenomenal award. 

    According to the Washington Post, the peace deal between Abiy and his Eritrean counterpart, Isaias Afwerki, formally ended a 20-year-old military standoff that led to Eritrea’s secession in 1993. 100,000 people lost their lives in the standoff that occurred between 1998-2003. The border dispute erupted into a full-blown war between the two neighboring nations.

    Not only has he been able to mend ties with Eritrea, but the 43-year-old former intelligence officer has ushered a new era of peace and hope in Ethiopia that was riddled with authoritarian regimes. In this new era he has:

    • Released thousands of political prisoners
    • Lifted bans of various political organizations
    • Prosecuted former officials accused of torture
    • Vowed to move Ethiopia into its first free, multi-party elections in 2020

    Abiy Ahmed is the third sitting head of government from Africa that has won the lucrative award. Previous African heads of states that have won the Nobel Peace Prize are Ellen Johnson-Sirleaf, former president of Liberia and F.W. de Klerk who won it jointly with Nelson Mandela in 1993 as South Africa transitioned from apartheid. 

    Last year the award was awarded jointly to 64-year-old Dennis Mukwege, a Congolese doctor who treated thousands of women who had been raped or sexually assaulted as a result of conflict in Congo, and 26-year-old Nadia Murad, who advocated for the support and freeing of Yazidi women who had captured and held as sex slaves by the Islamic State (IS).

  • SUPPORT NEEDED IN UGANDA FOR COMMUNITIES THAT ARE HOSTING REFUGEES

    By Gladys Sheila
    Gladyshila52@gmail.com

    Thumbnail image courtesy of: wikipedia

    Uganda has been recorded as the country hosting the largest number of refugees in Africa with 1.3 million refugees. It is also the third largest country in the world.

    The Ugandan approach towards the refugees has been termed as a good lead especially to the other host countries. According to a new report released by the World Bank Group says that as much these countries are supporting refugees, there is need to improve the social and economic status of the countries hosting the refugees and refugees too.

    According to the report given World Bank Group, Uganda has been progressing on helping the refugees, whereby the refugees’ policies with support from humanitarian partners have managed to give equal social services access as the host where sometimes they enjoy more of the services than the host communities.

    “The people of Uganda have been incredibly generous towards refugees, and this generosity of the host communities should be recognized by supporting them to have a higher quality of life. This study provides an evidence-based understanding of the living conditions of both refugees and hosts, which we expect will inform policy and programming for the national refugee response,” Tony Thompson, World Bank Country Manager for Uganda said.

    The report done by World Bank Group shows that about 95 percent of refugees and 66 percent of the host have access to improved water but the access to electricity for both is 50 percent. However, both can access health facilities as well as improved sanitation, although this is made easier by the Non-Governmental Organization. The report also shows that refugees remarkably contribute to the local economy, by purchasing goods and services in the local markets and operating businesses.

    However, both can access health facilities as well as improved sanitation, although this is made easier by the Non-Governmental Organization. The report also shows that refugees remarkably contribute to the local economy, by purchasing goods and services in the local markets and operating businesses.

    However, 48 percent of refugees live in poverty this is because more than 50 percent depend on humanitarian support, due to their inability to generate income because they do not have sills or are not taken through trainings.

    The report given recommendations on some measures to be taken in order to improve self-support of refugees and also communities that are hosting them improve their living conditions, supporting Ugandan economy as well. This will be achieved by increasing the agricultural productivity by providing inputs as well as creating job opportunities.

    Photo courtesy of: dispatch.ug

  • MONARCHIES OF AFRICA: The Kingdom of eSwatini

     

    By Nyokabi Ng’ang’a

    Leshnyokabi@gmail.com

    Thumbnail photo-courtesy: mountaininn.sz
    犀利士

     

    1
    Photo courtesy: www.motosha.com

    The Kingdom of eSwatini, formerly known as Swaziland, is an absolute monarchy state based in South Africa. It gained its independence from Britain in the year 1968. The British government colonized eSwatini for 66 years, from 1902 till independence. However, the Boers in 1894 had taken charge of eSwatini, but upon defeat by the Britons, they surrendered their colony to the latter in 1902.

    As written by http://www.sahistory.org.za, “…the Swazi nation…originally came from Mozambique.” The Kingdom of eSwatini dates its existence from Mozambique, with its majority populace streaming from the Nguni tribe. The Swazi people deserted their original homeland for “the Pongola River valley in Kwazulu Natal in the nineteenth century as a result of internal pressure,” http://www.sahistory.org.za. Their settlement, however, lasted for a short-time due to the Zulu Civil War or Ndwandwe-Zulu War of 1817-1819; resulting to their resettlement in Ezulwini Valley- modern day eSwatini.

    2
    The Nguni people: soulsafariwordpress.com

    Modern day, eSwatini, is led by King Mswati III- who came into power in 1986 at the age of 18 years. King Mswati III succeeded his Father, King Sobhuza II- who is the acclaimed world’s longest reigning monarch- http://www.gov.sz. Before King Mswati ascended to the throne, Queen Dzeliwe acted as a regent until the former was of age. It is recorded by http://www.gov.sz that there were two female regents in eSwatini’s history, namely: Queen Gwamile and Queen Dzeliwe who tentatively graced the throne on behalf of the then young heirs, King Sobhuza II and King Mswati III respectively. The monarchy’s power lies on the King (Ngwenyama) and the Queen Mother, Ndlovukazi (She-elephant).

     

    Aside from eSwatini’s monarchical base, important to note is that the ratified Constitution of 2005 is regarded as the supreme law of the land. The constitution asserts that the kingdom’s power lies with the King. The Constitution also stipulates the three arms of government in eSwatini, namely: Bicameral legislature, Judiciary and the Executive; of which all are independent from each other. The Bicameral Legislature consists of the House of Assembly and the Senate, which contain 65 members and 30 members respectively. The House of Assembly members are usually elected by the monarch and universal adult suffrage-which comes from the Tinkhundla electoral system; afterwards, the house of Assembly elects a section of members of the senate and the remaining number is left to the decision of the monarch, https://thecommonwealth.org/ .

    The monarch also elects the Prime Minister of the State who then runs government business and chairs the Cabinet. Moreover, the Prime Minister is tasked with the responsibility of keeping the monarch abreast with all governmental affairs.

    5
    Current Prime Minister of eSwatini: H.E. Mr. Mandvulo Ambrose Dlamini Photo courtesy: voiceofafrica.tv

    The Kingdom of eSwatini is one that has stood the test of times. Not only is it true to itself and its existence but also true to its practices and authentic African culture. From its still practiced ceremonies; Umhlanga (reed dance) http://www.thekingdomofeswatini.com/news-blogs/the-umhlanga-reed-dance-an-amazing-cultural-spectacle/ and Incwala (a cleansing and renewal ceremony) http://www.thekingdomofeswatini.com/eswatini-experiences/events/incwala-festival/to its authentic traditional attires and not forgetting its embrace of the Ubuntu Philosophy. Swaziland is a monarchy worth watching out for!

    6
    Reed dance Photo courtesy: daughterofafricablog.wordpress.com

     

    Ngiyabonga! (siSwati name for Thank you)

     

  • MEN GET BREAST CANCER TOO

    By Sharon Waithanji
    sharonwawaithanji@gmail.com

    Breast Cancer month is here. From 1st October to 31st October every year. It is symbolized with a pink ribbon. This movement is really effective with people learning how to make breast cancer known everywhere.

    There are easy methods which are taught during this time on how to check whether there are lumps in your breasts. There are also many cancer centres put up country wide that provide free screening of cancer. This not only increases awareness of breast cancer but also allows people to learn about the symptoms, preventions and treatment.

    One thing people fail to know is that breast cancer can also affect men. According to statistics by the National Breast Cancer Development Inc. only one percent of all breast cancer diagnosed is men. About 245,000 cases of breast cancer are diagnosed in women and 2,200 in men each year in the United States, according to the Centers for Disease Control and Prevention. It said 41,000 women and 460 men die from breast cancer in the US annually.

    In most cases the breast cancer is diagnosed late. One factor in diagnosis delay is a lack of awareness. While many women know how to look out for changes that could indicate breast cancer, there is less awareness among men, which means they may be less likely to seek help in the early stages.

    The fact that both men and women are born with some breast cells and tissue. Even though males do not develop milk-producing breasts, a man’s breast cells and tissue can still develop cancer.

    The likely symptoms of the breast cancer in men are the same with the ones in females:
    A lump in one breast, which is usually painless
    • Nipple retraction, ulceration, and discharge
    • Skin puckering or dimpling on the breast
    • Redness or scaling of the skin on the breast or nipple

    If the cancer spreads, there are advanced symptoms like:
    Swelling in the lymph glands, in or near the underarm area
    • Breast pain
    • Bone pain

    The treatment for Male breast cancer is the same as the women’s so there are really high rates of survival are cure and solutions.

    Just last week, Singer Beyoncé Knowles’ father, Mathew Knowles revealed his fight with breast cancer. This should be a push to all men and a good reason to spread awareness.

    As we spread the Breast cancer awareness, let us not forget the men and make them aware it also affects them. Men get Breast cancer too.

  • UONGOZI UPYA KATIKA KLABU YA DAYSTAR COMPASSION AND CARE CENTER

    Na Gladys Sheila
    gladyshila52@gmail.com

    Picha kwa hisani ya: Joseph Gichari

    Josephndungo55@gmail.com

    Klabu ya Daystar Compassion and Care Center (DCCC) almarufu DC3 iliyoko katika chuo kikuu cha Daystar ilisherehekea uongozi upya. DC3, ni klabu ambayo imekuwepo tangu mwaka wa (2013) huku lengo lake kuu likiwa kufahamisha wanadaystar kuhusu maswala ya afya, kuwasaidia kisaikolojia wanafunzi, wahadhiri, wafanyakazi na jamii ya Daystar kwa ujumla. Klabu hii imekuwa chini ya uongozi wa Bi.Susan Botto ambaye ndiye mratibu wake.

    Siku hii ya ndovu kumla mwanawe, iliyoadhimishwa katika chapeli iliwaorodhesha viongozi wake wa mwaka wa 2019-2020 huku waliowatangulia wakiwakabidhi faili za utendakazi wao. Siku hiyo ya aina yake ilianzishwa kwa tenzi za kumsifu na kumuabudu Mungu, hafla iliyoongozwa na kwaya ya Imela katika chuo kikuu cha Daystar. Hali kadhalika, wanafunzi, wahadhiri na wafanyakazi chuoni Daystar walipokea pipi huku ikiwa kiishara kuwa wasiokwenye ndoa wajihifadhi mpaka wakati wa kufunga ndoa.

    Kilele cha hafla hii ni ufahamu dhabiti wa klabu hicho na wanajopo ambao walikuwa Bi. Emmah Nguli na Bwana Allan Ball ambao ni washauri wa maswala ya saikolojia.

    Matayarisho ya siku hii isitoshe hung’oa habta wiki ikianza huku mada kuu ikiwa kuwahamasisha wanadaystar kufahamu afya zao. DC3 hukakisha kuna vitengo mbalimbali ambavyo vyaweza kuwasaidia kutambua hali zao za kiafya ikiwa upimaji wa ongoezeko au upungufu wa sukari mwilini, uchunguzi wa saratani, kuangaliwa meno na upimaji wa ukimwi. Ukabidhishaji wa nyara kutoka kwa naibu wa msimamizi mkuu wa wanafunzi Bi. Irene Kimani.

    Waliotuzwa walikuwa:
    1. David Obong’o- Rais
    2. Gladys Sheila- Naibu wa Rais
    3. Wilbert Kiprop- Katibu
    4. Kevin Korir- Mweka Hazina
    5. Maureen Minus- Mkurungezi wa Halfa
    6. Chris Waweru- Msaidizi wa Vikundi vya Msaada

    Erick Spira, rais anayeshika timu hiyo mpya mkono, aliwapongeza waliomtangulia na kuwahamasisha wanafunzi kuridhika kwa kasoro wanazojua wanazo kwani zina manufaa maishani. Kwa kuwa chanzo cha jambo ni mwisho wa kingine, timu hiyo ilijumuika na kukata keki ya kusherehekea uongozi upya na uliopita katika ofisi zao za DCCC.

    Kweli sote kama wanafunzi, wahadhiri na wafanyakazi twawatakia viongozi hao kila la heri wanapoongoza wanadaystar.

  • SHUJAA WETU

    Na: Wangu Kanuri

    kanuriwangu@gmail.com

    Melina Gold, mwanzilishi wa begi za Melina Gold.

    TUELEZE kuhusu ushoni wako wa mikoba [UTANGULIZI]

    Mikoba ya Melina Gold, ninashona kwa kutumia ngozi. Utengenezaji wa mikoba hii ilianza mwaka wa 2019 Februari huku lengo langu likiwa kuutuza usanii na upekee wa vitu vya Kenya. Ushonaji wa mikoba hii hutumia ngozi na mshoni wangu ndiye hukarabati usanii kadha wa kadha.

    TUELEZE kwa ufupi kukuhusu

    Jina langu ni Melina Gold na mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa nne katika chuo kikuu cha Daystar. Ninafanya shahada yangu katika mawasiliano kitengo cha uhusiano wa umma na nyongeza ya masomo katika saikolojia.

    NINI kilikuchochea kuupenda kushona mikoba?

    Ushoni wangu unanuia kuhamasisha wakenya kupenda na kuonea fahari mikoba ya Kenya kwa hivyo nikachukua jukumu hili kuzitengeneza mikoba ambayo itafifisha uduni wa bidhaa za Kenya. Hali kadhalika, nilitaka kuwazindua wanabiashara kujikita katika utengenezaji wa mikoba ili kuongeza mikoba yenye asili ya Kenya kwenye soko.

    NI changamoto zipi unakumbana nazo katika ushoni huu?

    Kutompata mshoni ambaye amebobea katika ushoni, kutowajibika kwa washoni ambao aghalabu hutumia ngozi hii kushona bidhaa nyingine zao bali si mikoba yangu, kutopata ngozi hii ya kutumia katika ushoni na kutopata watu ambao wanamaono sawa na yangu katika utengenezaji huu wa mikoba.

    MIKOBA yako ni ya aina gani?

    Melina Gold ni mikoba ambayo hutumia ngozi.

    UNAWASHAURI vipi wanabiashara chipukizi?

    Wasitegemee wanadamu kwani aliyemfunza chui kumla binadamu ni mtu. Pili waangaze maono yao kwa kina na wasiangeme. Mwisho wawe wenye bidii katika kuhakikisha biashara zao zimekua.

    Wasiliana na Melina Gold Kupitia:

    +254706602386

    @melinagoldbagline on instagram

  • KENYATTA UNIVERSITY STUDENTS UNREST

    By Debbie Gitau

    debbiemumbi@gmail.com

    Images sourced from Twitter

    Kenyatta University-Main Campus students hold protests today over welfare issues and seek the removal of their Vice Chancellor Paul Wainaina.

     

    The Kenyatta University Students Association issued a memo and stated some of their grievances to be:

    1. The extension of the deadline of the fee payment is minimal.
    2. The administration forcefully directing students in Nyayo to use the flyover.
    3. The suspension of the both students and student leaders on petty basis.
    4. Supplementary fee which is free in other universities, K.U charges 2,500 shillings that applies to Nursing, Law, Medicine and Pharmacy students.
    5. Hiking of graduation fee from 3,500 to 6,000 without KUSA being informed.
    6. Replacement of student I.D cards despite payments being done.

     

    The students closed the Thika road super highway in protest. Heavy law enforcement was employed to secure the safety of the school resources and to open up the closed Thika Road super highway.

     

    “They should listen to our concerns about the extension deadline and supplementary fees,” says Anne Kaloki, a Nursing student in Kenyatta University.IMG_20191007_190317

    Screenshot_2019-10-07-18-53-46
    Kenyatta University students gathered outside the University gates

    K.U unrest 5
    Kenyatta University Students running from Security Forces